PBPA: Ruzuku ya Serikali yapunguza makali ya bei ya Mafuta
11 Dec, 2023
09.00AM -12.30AM
OTR
info@pbpa.go.tz
Kaimu Mkurugenzi wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja ( Petroleum Bulk Procurement Agency - PBPA) , Erasto Simon, akitoa wasilisho lake kwenye kikao kazi baina ya Wakala na Wahariri wa Habari ,kilichoratibiwa na Ofisi ya Msajili wa Hazina ( OTR) na kufanyika jijini Dar es Salaam,Disemba,2023.
