Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA)

TFRA Logo
Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma TAKUKURU
Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma TAKUKURU- Temeke, Sabina Isuja akiwasilisha mada ya rushwa mara baada ya majadiliano ya viashiria vya rushwa vilivyowasilishwa TFRA na taasisi hiyo kwa ajili ya kuboresha utekelezaji wa mpango wa ruzuku ili kufikia adhma ya serikali ya kutoa mbolea za ruzuku kwa wakulima.

Mbolea Day