Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu

(DSFA)

Mafunzo ya Vihatarishi

Imewekwa: 28 July, 2023
Mafunzo ya Vihatarishi

Watumishi wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) wamepewa mafunzo maalum ya udhibiti wa vihatarishi (Risk Management), mafunzo hayo yametolewa na Mtaalam wa Risk Management and Control Dkt. Sako Mayrick kutoka Wizara ya Fedha, Ofisi ya Mkaguzi wa Ndani wa Serikali, Kitengo cha Risk Mgt and Control

Mrejesho, Malalamiko au Wazo