Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu

(DSFA)

Mkutano wa Waandishi wa habari na Mkurugenzi Mkuu

28 July, 2023 Pakua

Kikao cha nane  cha Bodi ya Wahariri wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu kilifanyika siku ya tarehe 06/09/2021 katika ukumbi wa Nyerere, Ofisi ya Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu. Kikao kilifunguliwa na Mwenyekiti wa kikao cha Bodi ya wahariri, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu mnamo saa 04:50 za asubuhi.

Mrejesho, Malalamiko au Wazo