Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

GCLA Logo
ISO 9001:2015 Certified

Kushiriki Bonanza la Utalii na Michezo mkoani Morogoro kwa siku mbili

17 May, 2025 - 18 May, 2025
09:30:00 - 17:30:00
NGUZO CAMP - MOROGORO
Martha Msolla ,

Watumishi wa mamlaka ya maabara ya mkemia mkuu wa serikali watakua na bonanza la utalii na michezo mkoani Morogoro kwa siku mbili litakalofanyika tarehe 17 mpaka 18 mwezi wa Mei mwaka 2025

Kushiriki Bonanza la Utalii na Michezo mkoani Morogoro kwa siku mbili