Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

GCLA Logo
ISO 9001:2015 Certified

MMS AFUNGUA KIKAO KAZI CHA UTAYARISHAJI WA VIHATARISHI

28 Dec, 2023 - 31 Dec, 2023
08:30:00 - 16:30:00
BAGAMOYO
OGUNYAA

Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko (aliyesimama), akizungumza na viongozi mbalimbali wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali wakati akifungua Kikao Kazi cha kutambua na kubaini vihatarishi na fursa zinazotokana na Mpango Mkakati wa Mamlaka. Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ADEM uliopo Bagamoyo, Mkoa wa Pwani Disemba 14, 2023.

MMS AFUNGUA KIKAO KAZI CHA UTAYARISHAJI WA VIHATARISHI