Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA MAABARA YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI

GCLA Logo
ISO 9001:2015 Certified

Nifanye nini ili kuweza kupata huduma hii ya tukio la sumu?

 

Ili kuweza kupata huduma za Kituo cha kudhibiti Sumu nchini  unatakiwa kupiga simu kwa namba za simu kwa namba: Toll Free 0800112031