Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

ISO 9001:2015 Imethibitishwa Kutoa Huduma za Hali ya Hewa kwenye Usafiri wa Anga

24 Forecast

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO 26.10.2025

Vipindi vifupi vya mvua kubwa vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Dar es salaam, Morogoro, Tanga na Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba. Aidha, vipindi vifupi vya upepo mkali unaofikia Kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 vinatarajiwa katika baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani mwa Bahari ya  Hindi.

Kwa taarifa zaidi, tafadhali pakua