Mafunzo ya Muda namna bora ya kutoa dawa za usingizi
Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma inatoa taarifa kwa wauguzi nchini kuwa itatoa mafunzo maalumu ya namna bora ya kutoa dawa za usingizi, Mafunzo yanaanza September 19-23.
Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma inatoa taarifa kwa wauguzi nchini kuwa itatoa mafunzo maalumu ya namna bora ya kutoa dawa za usingizi, Mafunzo yanaanza September 19-23.