Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Ujenzi

BARAZA LA TAIFA LA UJENZI

Eneo


Picha
Taarifa

USULUHISHI WA MIGOGORO

Tangu mwaka 1982 Baraza limekuwa likiratibu migogoro katika sekta ya ujenzi kwa njia ya usuluhishi. Baraza limeandaa orodha ya Wasuluhishi wa migogoro katika sekta ya ujenzi ambao husajiliwa na kutumiwa na wadau kwaajili ya usuluhishi wa migogoro inayojitokeza katika sekta. Aidha, utatuzi wa migogoro hufuata miongozo ya usuluhishi ambayo imechapishwa na Baraza.