Hutoa taarifa za miundombinu ya teknolojia inayosaidia shughuli za Serikali kama vile seva, kituo cha kazi, uhifadhi na miundombinu ya mtandao, utoaji leseni wa program za kompyuta, kukabili majanga ya TEHAMA na uendelevu wa shughuli, usimamizi wa mtoa huduma za TEHAMA, vipengele vya usimamizi wa rasilimali watu na huduma.