HUDUMA ZA USHAURI
Baraza linashughulika na kutoa ushauri wa kiufundi katika mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi; ikiwa ni pamoja na: mipango kuhusu utekelezaji wa miradi, ununuzi na usimamizi wa mikataba ya ujenzi, usimamizi wa gharama za miradi na ukaguzi wa miradi