Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Ujenzi wa Wodi na Mionzi Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato Awamu ya Pili

Imewekwa: 03 July, 2025
Ujenzi wa Wodi na Mionzi Hospitali ya  Rufaa ya Kanda Chato Awamu ya Pili

Taarifa za Mradi

Mshitiri/Mteja : Katibu Mkuu Wizara ya Afya

Gharama : Billioni 17.7

Aina ya Mradi : Design and Build

Eneo / Mahali : Geita

Tarehe ya kuanza : 2020-05-02

Tarehe ya Kumaliza : 2024-09-07


Taarifa zaidi za Mradi

Ujenzi wa Wodi za kazi za Nje nav Mionzi linalojengwa katika Hospital ya Rufaaa ya Kanda ya Chato katika eneo la kiteta Chato Awamu ya Pili.