Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Mtendaji Mkuu
Arch. Daud W. Kondoro
Mtendaji Mkuu

Huduma Zetu

Huduma za Miliki

Kurugenzi ya Usimamizi wa Miliki inatoa huduma zifuatazo: Kutoa ushauri kuhusu usimamizi wa Miliki za Serikali, kutwaa na kuendeleza ardhi, uundaji wa sera mbalimbali za ndani za makazi ya Serikali, kanuni na taratibu,...

Huduma za Ushauri

Kurugenzi ya Ushauri inatoa huduma zifuatazo: Kutoa huduma ya ushauri kwa miradi ya majengo ya Serikali. Kuidhinisha michoro ya ujenzi ya Taasisi za Serikali (MDAs) na kutoa vibali vya ujenzi wa majengo ya Serikali.&n...

Huduma za Ujenzi

Kurugenzi ya Ujenzi inatoa Huduma zifuatazo: (a)    Ujenzi wa nyumba na majengo mapya ya Serikali; (b)    Ukarabati wa nyumba na majengo ya Serikali; (c)    Kuendesha Karakana...

Tembelea Miradi Yetu Mbalimbali

Mradi wa Nyumba za Makazi Mission Kota unaotarajiwa kujengwa Geita.

Ujenzi wa Nyumba za Makazi zenye  uwezo wa kuchukua familia 14 kwa ajili ya kupangisha watu wote.

Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Watumishi wa Umma (Block 2 & 3) eneo la Canadian Masaki Dar es Salaam.

Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Watumishi wa  Umma eneo la Canadian Msaki Jijini Dar es Salaam.Construction

Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Watumishi wa Umma Temeke Kota -Temeke Dar es Salaam.

Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Watumishi wa Umma Temeke kota Dar es Salaam.

Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Watumishi wa Umma (Block 1 & 2) eneo la Ghana Ilemela Mwanza.

Ujenzi jengo la Makazi kwa Watumishi wa Umma  lenye uwezo wa kuchukua familia 14. 

Ujenzi wa Nyumba za Makazi Simeone Arusha.

Ujenzi wa Nyumba za Makazi za Kibiashara Simeone Arusha.

Magomeni Kota awamu ya Pili A

Ujenzi wa Nyumba za Makazi  Awamu ya Pili Magomeni Kota Dar es Salaam.

Video Mpya

Video zinazoonesha majukumu mbalimbali tunazofanya.
Video zinazoonesha majukumu mbalimbali tunayofanya.