Huduma Zetu
Kurugenzi ya Usimamizi wa Miliki inatoa huduma zifuatazo: Kutoa ushauri kuhusu usimamizi wa Miliki za Serikali, kutwaa na kuendeleza ardhi, uundaji wa sera mbalimbali za ndani za makazi ya Serikali, kanuni na taratibu,...
Kurugenzi ya Ushauri inatoa huduma zifuatazo: Kutoa huduma ya ushauri kwa miradi ya majengo ya Serikali. Kuidhinisha michoro ya ujenzi ya Taasisi za Serikali (MDAs) na kutoa vibali vya ujenzi wa majengo ya Serikali.&n...
Kurugenzi ya Ujenzi inatoa Huduma zifuatazo: (a) Ujenzi wa nyumba na majengo mapya ya Serikali; (b) Ukarabati wa nyumba na majengo ya Serikali; (c) Kuendesha Karakana...
Ujenzi wa Nyumba za Makazi zenye uwezo wa kuchukua familia 14 kwa ajili ya kupangisha watu wote.
Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Watumishi wa Umma eneo la Canadian Msaki Jijini Dar es Salaam.Construction
Ujenzi wa Nyumba za Makazi ya Watumishi wa Umma Temeke kota Dar es Salaam.
Ujenzi jengo la Makazi kwa Watumishi wa Umma lenye uwezo wa kuchukua familia 14.
Ujenzi wa Nyumba za Makazi za Kibiashara Simeone Arusha.
Ujenzi wa Nyumba za Makazi Awamu ya Pili Magomeni Kota Dar es Salaam.
Habari Mpya
Video Mpya