Wakala Wa Huduma Ya Ununuzi Serikalini

"Ununuzi Unaozingatia Thamani"

MAJUKUMU YA WAKALA

 

  1. Kutoa Huduma toshelevu ya vifaa kwa ubora na bei shindani;
  2. Kutoa huduma ya Ugomboaji na Uondoshaji Mizigo, na Ushauri wa Kitaalam kwa kuzingatia thamani halisi ya fedha;
  3. Kuandaa na Kutoa Orodha ya Wazabuni wa Vifaa na Huduma Mtambuka (VHM) kupitia Mikataba Maalum;
  4. Kutoa huduma ya kuhifadhi mali na vifaa kwa kutumia maghala;
  5. Kuhakikisha kuwa Wakala unakuwa endelevu.