SIDO - DSM ILIFANYA KIKAO CHA MASHIRIKIANO NA SHIRIKA LA TIKA LA UTURUKI
Imewekwa: 22 Oct, 2025
SIDO - DSM ILIFANYA KIKAO CHA MASHIRIKIANO NA SHIRIKA LA TIKA LA UTURUKI

SIDO - DSM na TIKA - UTURUKI, ilifanya kikao kwa ajili ya  kujadili ushirikiano wa k imkakati na unalenga kuwajengea uwezo zaidi wajasiriamali  wa Tanzania kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.  Kikao kilihudhuriwa na Mkurgenzi wa  mkaazi wa TIKA Tanzania na Meneja wa SIDO Dar Es Salaam, Hopeness  Elia na timu ya SIDO Mkoa wa Dar Es Salaam

 

 

Matangazo
03 Dec, 2025
23 Nov, 2025
Feedbacks

Mrejesho, Malalamiko au Wazo