Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Je, TBA inauza Nyumba za Magomeni Kota?

Hapana, nyumba za Magomeni Kota haziuzwi. Zilijengwa mahususi kwa ajili ya wakaazi 644 waliokuwa wanaishi kwenye kota za zamani za Magomeni zilizokuwa na hali mbaya kabla ya kuvunjwa kupisha ujenzi wa nyumba bora na za kisasa.