Uzinduzi wa Kamati ya Ushauri wa Kitaaluma
08 May, 2023
08:00-12:00
Kampasi Kuu Butiama

Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius K. Nyerere cha Kilimo na na Teknolojia kinatarajia kuzindua Kamati ya Ushauri wa Kitaaluma.
Mgeni rasmi: Mkuu wa Mkoa wa Mara
Wote mnakaribishwa