Chuo cha Kilimo Buti...
Chuo cha Kilimo Butiama ‘chatwishwa’ zigo ukosefu wa ajira
08 May, 2023
Chuo cha Kilimo Butiama ‘chatwishwa’ zigo ukosefu wa ajira

Kamati ya Ushauri Kitaalamu na Kitaaluma ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT) kimetakiwa kuweka mikakati itakayowezesha chuo hicho kutoa wahitimu wenye ujuzi na maarifa yatakayochochea maendeleo kwa kupunguza tatizo la ajira nchini.