RAIS SAMIA AWASILI W...
RAIS SAMIA AWASILI WINDHOEK NCHINI NAMIBIA KWA AJILI YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA TROIKA PLUS
08 May, 2023
RAIS SAMIA AWASILI WINDHOEK NCHINI NAMIBIA KWA AJILI YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA TROIKA PLUS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Namibia Mhe. Hage Geingob mara baada ya kuwasili Windhoek, Namibia kwa ajili ya mkutano wa Dharura wa TROIKA Plus utakaojadili hali ya Usalama Mashariki mwa nchi ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tarehe 07 Mei, 2023.