ZIARA YA MAKAMU WA R...
ZIARA YA MAKAMU WA RAISI ARUSHA
08 May, 2023
ZIARA YA MAKAMU WA RAISI ARUSHA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya shilingi 100,000/=  Rukia Said ambeye ni dereva wa mtambo maalum unaotumika  katika ujenzi wa barabara (roller) wa Kampuni ya  CHIBESHI Construction Company Limited , baada ya Waziri Mkuu kuvutiwa na kazi nzuri iliyofanywa na kampuni inayojenga barabara ya Hingawali hadi Navanga yenye urefu wa Kilomita 14.1 na barabara ya Navanga hadi Pangabohi yenge urefu wa kilomita 8 katika Jimbo la Mtama, Oktoba 5, 2021.