Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Kurugenzi ya Huduma Saidizi

Kurugenzi hii ina jukumu la kusimamia masuala ya Fedha, Utawala na  Rasilimali watu, Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini. Kurugenzi hii inaongozwa na Mkurugenzi akisaidiwa na Mhasibu Mkuuu Sehemu ya Uhasibu na Fedha na Mameneja wa Sehemu ya Utawala na Rasilimali Watu na Sehemu ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini.