Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Shirika La Elimu Kibaha

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Iko kibaha mji
vitabu vipo
Shirika la Elimu Kibaha ni Shirika la umma linalotoa huduma mbalimbali. Shirika lipo katika Mkoa wa Pwani kilomita 40 magharibi mwa Jiji la Dar es salaam, pembezoni mwa barabara Kuu iendayo Morogoro. Shirika la Elimu Kibaha lilianzishwa mwaka 1963 kama mradi wa pamoja chini ya wafadhili watano am...