KURUGENZI YA FEDHA NA UHASIBU
KURUGENZI YA FEDHA NA UHASIBU
Lengo
Kutoa utaalamu wa juu wa Udhibiti, Usimamizi wa Fedha na Huduma za Uhasibu kwa Shirika la Elimu Kibaha.
Kurugenzi hii inajumuisha sehemu kuu mbili:
i. Sehemu ya Fedha.
ii. Sehemu ya Uhasibu.