SHIRIKA LA ELIMU KIBAHA LAWAPONGEZA WAFANYAKAZI BORA
SHIRIKA LA ELIMU KIBAHA LAWAPONGEZA WAFANYAKAZI BORA
Imewekwa: 30 Apr, 2025

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Bw. Anneth Nnko amewapongeza watumishi 13 wa vitengo pamoja na kurugenzi kwa kuchaguliwa kuwa watumishi hodari wa mwaka 2024/2025 wakati wa sherehe za Mei Mosi zilizoazimishwa kimkoa kwenye Uwanja wa Shirika.
Aidha katika sherehe hizo Bw. Novathi Mizungwe amechaguliwa kuwa mtumishi bora wa jumla kwa mwaka 2024/2025 kwa Shirika la Elimu Kibaha.
Katika sherehe hizo, Bw. Nnko amewataka watumishi wa Shirika waendelee kudumisha ushirikiano ili waweze kufanya kazi kuwa bora.