Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Shirika La Elimu Kibaha

Maendeleo ya Jamii, Mafunzo na Uzalishaji

Maendeleo ya Jamii, Mafunzo na Uzalishaji

Shirika linatoa huduma mbalimbali za uwezeshaji kwa jamii kwa njia ya:

i.      mafunzo ya kozi fupi na ndefu katika kilimo, ufugaji, ufundi magari, uwekaji umeme, uchomeleaji, ushonaji nguo na huduma nyingine mbalimbali

ii.     huduma za ugani kwa madhumuni ya kuongeza uwezo kwa jamii katika elimu ya ujasiriamali

Maendeleo ya Jamii, Mafunzo na Uzalishaji