Elimu
Elimu
Shirika linatoa huduma za elimu kwa jamii ya Watanzania, huduma hizo ni kama zifuatazo:
- Elimu ya msingi
- Elimu ya sekondari
- Elimu ya ufundi na fani mbalimbali
- Elimu katika afya na sayansi shirikishi
- Huduma ya malezi na makuzi ya watoto
Elimu
Shirika linatoa huduma za elimu kwa jamii ya Watanzania, huduma hizo ni kama zifuatazo: