Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Shirika La Elimu Kibaha

Maktaba ya Umma Kibaha

Maktaba ya Umma Kibaha

Shirika hutoa huduma mbalimbali kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na watu wazima.  Huduma zinazotolewa ni:

  1. Nafasi ya kusoma
  2. Usajili wa watumiaji wapya
  3. Mafunzo kwa watumiaji
  4. Huduma za uazimishaji vitabu na maandiko mbalimbali
  5. Huduma ya uazimishaji kati ya maktaba na maktaba
  6. Huduma za ushauri wa namna ya uendeshaji wa maktaba na uandaaji wa machapisho katika shule
  7. Huduma za watoto
  8. Huduma za mtandao

Watumiaji Wetu

Jamii yote ya Shirika la Elimu Kibaha na jumuiya inayozunguka wana haki ya kutumia maktaba.

Ada ya uanachama kwa mwaka kwa watumiaji wa nje ni:

i.          Mtu mzima 

Wananchi Tshs. 10,000/= Mgeni US $ 25

ii.         Wanafunzi wa shule ya sekondari

Wananchi Tshs. 7,000/= Mgeni US $20

iii.        Wanafunzi wa shule ya msingi

Wananchi Tshs. 5,000/= Mgeni US $20

Ada ya uanachama kwa siku kwa watumiaji wa nje

i.          Mtu mzima 

Wananchi Tshs. 1,000/= Mgeni US $ 2

ii.         Wanafunzi wa shule ya sekondari na wanafunzi wa shule ya msingi

Wananchi Tshs. 500/= Mgeni US $ 1

 

Maktaba ya Umma Kibaha