Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Shirika La Elimu Kibaha

Utafiti na Ushauri

Utafiti na Ushauri

Shirika la Elimu Kibaha kwa kushirikiana na taasisi nyingine linafanya utafiti, linashauri, linatoa mafunzo kwa jamii na kwa wadau wengine mbalimbali. Maeneo ambayo Shirika linatoa huduma ni:  

i.         utafiti katika nyanja za kilimo, ufugaji, elimu na afya

ii.        huduma za ushauri kwa lengo la kuwawezesha wananchi kijamii na kiuchumi

iii.       huduma za mafunzo

Utafiti na Ushauri